Wednesday, September 21, 2016

Tecno C7 Yajue yote kuhusu simu hii hapa.Dili ya kijanja pia.

Tecno C7 Yajue yote kuhusu simu hii hapa.Dili ya kijanja pia.
Image result for Tecno Camon C7
Hi!! Natumai uko poa. Kama kawaida leo napenda nikujulishe kuhusu simu nyingine ambayo bado iko sokoni na rasmi imezinduliwa mwezi wa nane mwaka 2016.Simu hii si nyingine ila ni kutoka kampuni ya Tecno simu iitwayo Tecno C7.
       Kumbuka kampuni hii ilishatoa matoleo mengine ya C kama vile C8 na C5 ambazo kiukweli zilifanya vizuri sana sokoni hasa kupitia uwezo wao mkubwa wa  kuwa na camera nzuri.
      Simu hii ya Tecno C7 ina uwezo wa kutumia internet kwenye mitandao ya 2g,3g na mtandao wa kisasa wenye nguvu zaidi hapoa nchini kwetu wa 4g.N hiyo ikiwa na maana kuwa unapokuwa na simu hii huna haja ya kuwaza kuhusu spidi ya internet yako kwenye simu hii kwani utaweza kudownload files za aina mbali mbali na zenye ukubwa mkubwa kwa muda wa dakika tu au sekunde.
       Simu hii ukubwa wake wa nafasi ya kuweza kuhifadhi vitu mbali mbali kama music,programu na files nyingine nyingi yaani internal storage yake ni ukubwa wa 16 GB,na hivyo kukufanya kutokuwaza kuhusu simu yako kuwa na nafasi ndogo.Kizuri zaidi ni kwamba pamoja na simu hiyo kuwa na nafasi hiyo kubwa ya kuhifadhi vtu pia simu hiyo ina sehemu nyingine ambayo unaweza kuweka memory kadi yako nyingine ya ukubwa wowote na hivyo kufuta kabisa swala la kuishiwa nafsi kwenye simu yako.Lakini kizuri zaidi na kikubwa pia kwenye simu hii ni kwamba simu hii ina RAM ya 2GB,Ram hii inakuwezesha wewe kufungua programu nyingi kwenye simu yako hii kwa wakati mmoja na ukazitumia kwa wakati mmoja bila simu kukusumbua kuwa nzito wala kukwama kwama na kwa uhakika simu yako hii itakuwa na spidi kubwa sana hata katika kufungua vitu mbali mbali ndani yake.Lakini pia RAM hii itakufanya uweze kucheza games zenye ubora wa hali juu na zenye ukubwa mkubwa bila kukwama kwamba kwenye simu yako hii,ama kwa hakika utacheza kwa raha kabisa tena ikiwa na spidi ya uhakika.
 Image result for Tecno Camon C7
         Simu hii ina ukubwa wa nchi tano (5) na hivyo si haba kwani utaweza kuitumia bila kukonyeza macho yako na pia ikiwa na kioo ambacho kina ng'aa vizuri kabisa.Kma kawaida Tecno wameamua kufanya kweli kuhusu kamera kwani simu hii ina uwezo wa kupiga picha bora kabisa iwe unatumia kamera ya mbele au ya nyuma picha zake ni bora sana na hivyo kukufanya usipitwe na tukio kwani utaweza kupiga picha ambazo kwa hakika kila mtu atazipenda.
    Kamera ya simu hii ama kwa hakika ni moto wa kuotea mbali kwani kamera ya nyuma ina 13MP hali kadhalika ya mbele nayo ina 13MP.bila kusahau ina uwezo wa kuflash katika kamera hizo zote mbili.Simu hii hutajuta kuwa nayo.
  Mengine kuhusu simu hii tazama hapa chini ila kwa hakika simu hii ni bora kabisa na isikupite mjanja.

General Information


2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G Network HSPDA 850 / 2100
4G Network LTE
SIM Dual mini SIM
Status Available August 2016

Body

Dimensions 142.1 x 71 x 5.4 mm
Keyboard Touchscreen
Colors Black, Gold
Cover Plastic

Display

Type IPS capacitive touchscreen with 16,000,000 colors
Size 5.0 inches, 720 x 1280 pixels, 294 pixels per inch (PPI)

Memory And OS

Card slot MicroSD card, up to 128GB
Internal 16GB
OS Android 6.0 Marshmallow
Processors 1.3GHz quad-core Cortex-A53 CPU, MediaTek MT6735 chipset, Mali-T720 GPU
RAM 2GB

Audio

Alert types Vibration, MP3 ringtones
Loudspeaker Yes
Audio port 3.5mm jack

Connectivity

2G GPRS – up to 85.6 kbps; EDGE – up to 236.8 kbps
3G Up to 42 mbs downlink; Up to 5.76 mbs uplink
4G Up to 100 mbs downlink; Up to 50 mbs uplink
WIFI Wi-Fi 802.11 a/b/g/n, WIFI hotspot
Bluetooth Version4.0
GPS A-GPS
NFC No
USB MicroUSB v2.0

Camera

Primary 13MP, up to 4128 x 3096-pixel pictures, HDR, autofocus, Geo-tagging, panorama camera with LED flash
Video 1080@30fps
Secondary 13MP, up to 4128 x 3096-pixel pictures, LED flash

Battery

Capacity 2500mAh Li-Ion battery
Stand-by
Talk time
Music play

Other Features

Sensors Accelerometer, Proximity, Fingerprint
Messaging SMS, MMS, Email, Push Mail, IM
Browser HTML5
Java No

– SNS integration
– MP4/MPEG4/H.263/H.264 player
– MP3/WAV/eAAC+/AC3/FLAC player
– Document viewer
– FM radio
– Image viewer and editor
– Voice memo/dial/command
– Predictive text input
– Preloaded apps –  Gmail, Gtalk, Google Now, Youtube, Flash Share, Facebook, Palmchat

Ijue Tecno W4 simu bora kwa gharama nafuu kabisa.

Ijue Tecno W4 simu bora kwa gharama nafuu kabisa.
Image result for Tecno W4

Hi!! Natumai uko poa.Leo napenda nikujulishe dili nzuri sana kwa wewe ambaye hujajua kuhusu simu aina ya Tecno W4.Simu hii naweza kusema ni bado mpya kwani imezinduliwa hivi karibuni.
  Kwanini nimesema ni dili nzuri sana? Ni hivi ukiangalia mambo mengi ya ubora wa simu hii na ukilinganisha na gharama yake yes,hapo utajua kuwa simu hii ni dili nzuri kwa mtu wa kipato cha kawaida.Napenda nikujulishe mambo muhimu kuhusu simu hii ambayo kwangu mimi naona ni moja wapo ya simu standard kabisa na inayokuwezesha kutumia katika mahitaji ya namna nyingi.
      Simu hii ina uwezo wa kusapoti mitandao ya 2g,3g na mtandao wenye kasi zaidi kwa sasa wa 4g na hivyo kukufanya kuwa na internet bora na yenye kasi zaidi kwa gharama ndogo tu.Pia simu hii ina uwezo au nafasi ya kuhifadhi files na data mbali mbali yenye ukubwa wa Gb 16 na huku ikiwa na sehemu ya kuweka memory pia ya ukubwa hadi wa Gb 200. Pia simu hii ina RAM ya 1Gb ambayo pia si haba kwani itakuwezesha kufungua programu na kuzitumia kwa wakati mmoja bila simu kukusumbua kwa kuwa nzito au kukwama kwama.
         Simu hii imetoka ikiwa kwenye rangi tofauti tofauti na hivyo kukupa uhuru wa kuchagua rangi uipendayo,ikiwemo nyeusi na nyeupe.Pia simu hii ina uwezo wa kupiga picha zenye ubora wa hali juu na kuifanya kuwa mojawapo ya simu nzuri kwa mtumiaji wa kisasa wa simu.
      Uzuri zaidi wa simu hii ni kwamba mfumo wake wa kufanya kazi yaani operating system (OS) ni wa kisasa na mpya kabisa ikiwa ni Android version 6.0 ujulikanao kama Marshmallow.
 Image result for Tecno W4
      Simu hii kutegemea na maduka lakini gharama yake ni kati ya shilingi laki moja na sitini (160,000) mpaka laki moja na themanini kwa Tanzania kama nilivyosema inategemea na duka uliloenda.Kwa gharama hiyo ukilinganisha na simu yenyewe kiukweli ni dili nzuri sana tu.
      Mengine mazuri kuhusu simu hii tazama hapa chini.



General Information


2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G Network HSDPA 900 / 2100
4G Network LTE
SIM Dual mini SIM
Status Available April 2016

Body

Dimensions 143.50 x 71.30 x 8.50 mm, 135 grams
Keyboard Touchscreen
Colors Black, Silver
Cover Plastic

Display

Type IPS capacitive touchscreen with 16,000,000 colors
Size 5.0 inches, 720 x 1280 pixels, 294 pixels per inch (PPI)

Memory And OS

Card slot MicroSD card, up to 128GB
Internal 16GB
OS Android 6.0 Marshmallow
Processors 1.3GHz quad-core Cortex-A53 CPU, MediaTek MT6735 chipset, Mali-T720 GPU
RAM 1GB

Audio

Alert types Vibration, MP3 ringtones
Loudspeaker Yes
Audio port 3.5mm jack

Connectivity

2G GPRS – up to 85.6 kbps; EDGE – up to 236.8 kbps
3G Up to 42 mbs downlink; Up to 5.76 mbs uplink
4G Up to 150 mbs downlink; Up to 50 mbs uplink
WIFI Wi-Fi 802.11 b/g/n, WIFI hotspot, Wi-Fi direct
Bluetooth Version 4.1
GPS A-GPS
NFC No
USB MicroUSB v2.0

Camera

Primary 8MP, up to 3264 x 2448-pixel pictures, HDR, autofocus, Geo-tagging, panorama camera with LED flash
Video Yes
Secondary 2MP up to 1600 x 1200-pixel pictures

Battery

Capacity 2500mAh Li-Ion battery
Stand-by
Talk time
Music play

Other Features

Sensors Accelerometer, Proximity
Messaging SMS, MMS, Email, Push Mail, IM
Browser HTML5
Java No

– SNS integration
– MP4/MPEG4/H.263/H.264 player
– MP3/WAV/eAAC+/AC3/FLAC player
– Document viewer
– FM radio
– Image viewer and editor
– Voice memo/dial/command
– Predictive text input
– Preloaded apps –  Gmail, Gtalk, Google Now, Youtube, Flash Share, Facebook, Palmchat

Price

Price level About 80 USD

Friday, September 16, 2016

Mambo muhimu kuhusu simu mpya ya Apple iPhone 7

Mambo muhimu kuhusu simu mpya ya Apple iPhone 7

Hii!! Natumai uko poa!!  Naamini katika ulimwengu huu wa teknolojia watu wengi wamekuwa wakifuatilia namna ambavyo teknolojia imekuwa ikiboresha vifaa vyake kila wakati.
                  Leo napenda nikujulishe mambo machache lakini muhimu kuhusu simu mpya kutoka kampuni kubwa kabisa ya Apple kwenye simu yao mpya ya  Apple iPhone 7.Simu hii rasmi imeingia sokomi mwezi huu na kwa mujibu wa vyanzo vya habari vinasema kwamba watu wengi wamepanga foleni kwenye sehemu ambazo zinauza simu hizi kwaajili ya kununua,
      Lakini kabla hujapata hamu ya kuwa mmoja ya watakaoendelea kupanga mstari kuinunua naoomba nikujulishe haya hapa ambayo ni muhimu kuhusu simu hii.
                      Kama ilivyokuwa kwenye iPhone 6 kulikua na matoleo mawili hali kadhalika nasasa kampuni hiyo imetoa simu yake hiyo mpya katika matoleo mawili yaani iPhone 7 na iPhone 7 plus hii ikamaanisha pia simu hizi zina sifa tofauti ingawa toleo lake ni moja.
               Simu hii imetolewa ikiwa na rangi tofauti tofauti kama ambavyo unaweza kuona hapa chini na hivyo ni juu yako wewe kuchagua rangi unayoipenda.


             Mambo mazuri kuhusu simu hii ni kama ifuatavyo..
                        1.Kioo chake [screen] kinang'aa vizuri sana.
                        2.Inafanya kazi kwa spidi kubwa
                        3.Ina Camera bora kabisa inayopiga picha za kiwango cha juu kwa ubora
                        4.Ina spika zilizopo mbele ya simu [front facing speakers]

             Mapungufu kuhusu simu hii ya Apple iPhone 7
                        1.Haina camera mbili kama ilivyo kwenye iPhone 7 Plus
                        2.Haitumii Ear phone,Haina sehemu ya kuchomeka ear phone
                        3.Mambo mengi ambayo yanaonekana kuwa mapya kwenye simu hii sio kweli kuwa mapya kwani yalikuwepo kwenye matoleo mengine.
Image result for iphone-7

        Kwa wataalamu wa simu wanasema kuwa simu hii namna ilivyotengenezwa imekuwa bora zaidi kwa wale wanaopenda kupiga picha,kutengeneza na kutazama video na pia kwa wale wanaopenda kucheza games kwenye simu zao.Hii ina maana kuwa simu hii kwenye maeneo hayo imaetengenezwa kwa ubora wa hali ya juu.

Mengine muhimu kuhusu simu hii tazama hapa chini.

Service Provider: Unlocked

Operating System as Tested: iOS 10
CPU: Apple A10
Dimensions: 5.44 by 2.64 by 0.28 inches
Form Factor: Candy Bar
Physical Keyboard: No
Weight: 4.87 oz
Screen Size: 4.7 inches
Screen Type: Retina
Screen Resolution: 1,334 by 750 pixels
Screen Pixels Per Inch: 326

Camera Resolution: 12MP Rear, 7MP Front-Facing
Video Camera Resolution: 4K, 1080p
Wireless Specification: 802.11n (2.4+5 GHz Dualband)
Bluetooth Version: 4.2
GPS: Yes
NFC: Yes
Total Integrated Storage: 32 GB
microSD Slot : No
Phone Capability / Network: GSM, CDMA
High-Speed Data: LTE
Capacities Available: 32GB, 128GB, 256GB
Colors Available: Jet Black, Black, Silver, Gold, Rose Gold

Namna ya kutuma msg moja whatsapp kwa watu wengi mara moja.

Namna ya kutuma msg moja whatsapp kwa watu wengi mara moja.
whatsapp tricks

Hii Rafiki!!  Natumai uko poa. Leo napenda nikujulishe njia rahisi ambayo inaweza kukusaidia kutuma ujumbe mmoja yaani msg moja kwa watu wengi kwa mara moja.Kwa kawaida imetuwia rahisi kutuma msg zetu kwa watu wengi kwa kutumia magroup ambayo tunakuwa nayo au kuyatengeza kwenye proggram zetu za whatsapp lakini changamoto inakuja pale unapohitaji kuwatumia watu fulani msg ya aina moja ambao hawako kwenye group moja.
    Chukulia mfano unataka kuwapa watu taarifa labda ya msiba ambao hawako kwenye group moja na kumtumia kila mtu mmoja mmoja ni shida kwahiyo hapa nataka nikuonyeshe namna itakayokusaidia kwenye changamoto kama hizo

             FUATA HATUA ZIFUATAZO 
 1.Fungua programu yako ya whatsapp,kisha angalia upande wa kulia wa akaunti yako ya whatsapp juu utaona vinukta vitatu.Bonyeza vinukta hivyo na yatatokea machaguo mbali mbali kama inavyoonyesha hapa chini kwenye picha.Kisha bonyeza new broadcast na itakuletea uwanja mwingine huku kukiwa na majina yote ya whatsapp yako.Baada ya hapo bonyeza [mark] kila jina ambalo unataka kuwatumia msg yako.
                                  Screenshot_2015-05-08-16-41-07
                                                          Baada ya hapo watumie msg ambayo unataka kuwatumia na itaenda kwa watu wote hao ambao umewaweka kwenye list hiyo kama ambavyo nimekuelekeza.Kitu muhimu unachotakiwa kukizingatia ni kwamba wote utakaokuwa unawatumia msg kwa mtindo huu wanatakiwa wawe na namba yako kwenye simu zao.

            Ni hayo tu kwa leo na nakutakia Wikendi njema.Usisahau kushare na marafiki!!
                                                
                                                    @NurFire Spiro Spero!!
 

Namna ya kujua muda ambao uliyemtumia meseji whatsapp ameisoma,ikiwemo tarehe.

Namna ya kujua muda ambao uliyemtumia meseji whatsapp ameisoma,ikiwemo tarehe.
whatsapp tricks

Hii!! Natumai uko poa!! Leo napenda nikujulishe njia inayoweza kukusaidia kujua muda kamili ambao mtu uliyemtumia msg whatsapp ameisoma.Naomba ieleweke kuwa nachokizungumzia hapa sio zile alaama mbili za tiki ambazo hua zinakuonyesha kuwa ujumbe wako umeonwa au kufunguliwa,hapa nakuonyesha namna ambayo itakuonyesha saa,dakika,tarehe na mwaka ambao msg hiyo mhusika aliisoma.
      Ni rahisi sana kuitumia mbinu hii na ikitokea bahati mbaya umesoma hujaelewa basi usisite kuniandikia kwenye comment hapo chini nami ntakusaidia.
     Zifuatazo ni hatua au namna itakayoweza kukusaidia kufanya hiki tunachokijadili.

1.Fungua account yako ya whatsapp na kisha nenda kafungue msg ambayo unataka kujua muda ambao uliyemtumia ameisoma.
2.Ibonyeze kwa muda kama wa sekunde tatu bila kuachia msg hiyo unayotaka kujua au mpaka utakapooona kuna kama rangi ya bluu imetanda kwenye hiyo msg kisha achia.Kisha utaona kitu kama picha hii hapa chini
                 

Baada ya hapo bonyeza kwenye alaama hiyo ipo kama i ambayo itakuwa juu kabisa kwenye hiyo msg uliyoibonyeza kama unavyoona hapo juu kwenye picha.Ukisha bonyeza kialama hicho basi chini ya hiyo msg itakuletea taarifa inayoonyesha muda ambao mhusika ameisoma msg na pia muda ambao mhusika alipokea msg hiyo kama inavyoonyesha hapa chini kwenye picha.
                whatsapp read status

Ni hayo tu kwa leo,tafadhari usiache kushare na marafiki kama ujanja huu umeupenda!!

                                                          @NurFire,Spiro Spero!!

Thursday, September 15, 2016

Lenovo wamekuletea simu hii Lenovo K6 Note mpya kabisa,ijue hapa!!

Lenovo wamekuletea simu hii Lenovo K6 Note mpya kabisa,ijue hapa!!
Lenovo K6 Note

Hii!! Wengi wanaifahamu sana kampuni ya Lenovo kwenye utengenezaji wa kompyuta ambazo kwa hapa nchini kwetu kwasasa kumekuwa na watumiaji wengi wa bidhaa hiyo.
   Kampuni hiyo mwezi huu inazindua simu yake aina ya Lenovo K6 Note.Nafikiri kwa watumiaji wengi wa simu wanaelewa nini maana ya simu kuitwa Note.Kwahiyo napenda nikujulishe vitu muhimu kuhusu simu hii kutoka kampuni ya Lenovo ili usijepitwa na vitu vizuri.
       Kwanza kama nilivyokwambia simu hii ni mpya kwani itazinduliwa mwezi huu,
Kiumbile simu hii ina kioo chenye ukubwa wa inchi 5.5 na inauwezo wa kusapoti internet kwenye mitandao ya 3g,2g na 4g,huku ikiwa inatumia sim card moja yaani laini moja.
        Simu hii imetoka katika rangi tatu yaani kuna za silva,gold na grey huku zikiwa na kava la Aluminium.Ukubwa wa nafasi ya kuhifadhi vitu mbali mbali kwenye simu hii yaani storage ni 32Gb huku ikiwa na sehemu ya kuweka memory card yoyote mpaka yenye ukubwa wa 2556Gb.
        Kama nilivyokwambia kuwa simu hii ni mpya hivyo mfumo wake wa kufanya kazi yaani operating ysstem au [OS] kwa kifupi ni wa kisasa kabisa ambao ni android 6.0 Marshmallow.Kizuri zaidi ni kwamba simu hii ina RAM ya 3GB,na hivyo kukupa uwezo wa kuitumia simu yako kwa kufungua programu nyingi kwa wakati mmoja na utaziyumia bila simu kukusumbua au kukwama kwama.
               Hayo ni baadhi ya mabo muhimu kuhusu simu hii,kwa mengi zaidi angalia hapa chini.

General Information


2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G Network HSDPA 850 / 900 / 1900 / 2100
4G Network LTE
SIM Dual micro SIM
Status Available September 2016

Body

Dimensions
Keyboard Touchscreen
Colors Silver, Gold, Grey
Cover Aluminum

Display

Type IPS capacitive touchscreen with 16,000,000 colors
Size 5.5 inches, 1080 x 1920 pixels, 401 pixels per inch

Memory And OS

Card slot MicroSD, up to 256GB
Internal 32GB
OS Android 6.0 Marshmallow
Processors 1.5GHz quad-core Cortex-A53 CPU, Qualcomm Snapdragon 430 chipset, Adreno 505 GPU
RAM 3GB

Audio

Alert types Vibration, MP3 ringtones
Loudspeaker Yes
Audio port 3.5mm jack

Connectivity

2G GPRS – up to 85.6 kbps; EDGE – up to 236.8 kbps
3G Up to 42.2 mbps downlink; Up to 5.76 mbps uplink
4G Up to 150 mbps downlink; Up to 50 mbps uplink
WIFI Wi-Fi 802.11 b/g/n, Wi-Fi hotspot
Bluetooth Version 4.1
GPS A-GPS
NFC No
USB MicroUSB v2.0

Camera

Primary 16MP, up to 5312 x 2988-pixel pictures, Geo-tagging, HDR, auto focus camera with LED flash
Video 1080p@30fps
Secondary 8MP, up to 3264 x 2448-pixel pictures

Battery

Capacity 4000mAh Li-Ion battery
Stand-by
Talk time
Music play

Other Features

Sensors Accelerometer, Proximity, Compass, Fingerprint
Messaging SMS, MMS, Email, Push Mail, IM
Browser HTML
Java No
Miscellaneous – SNS integration
– FM radio
– MP4/MPEG4/H.263/H.264 player
MP3/WAV/eAAC+/AC3/FLAC player
– Document viewer
– Image viewer/editor
– Preloaded applications – Gmail, YouTube, UC browser, Baidu search, Kingsoft office, etc.

Price

Price level About 159 USD

Lenovo wamekuletea simu hii Lenovo K6 Note mpya kabisa,ijue hapa!!

Lenovo wamekuletea simu hii Lenovo K6 Note mpya kabisa,ijue hapa!!
Lenovo K6 Note

Hii!! Wengi wanaifahamu sana kampuni ya Lenovo kwenye utengenezaji wa kompyuta ambazo kwa hapa nchini kwetu kwasasa kumekuwa na watumiaji wengi wa bidhaa hiyo.
   Kampuni hiyo mwezi huu inazindua simu yake aina ya Lenovo K6 Note.Nafikiri kwa watumiaji wengi wa simu wanaelewa nini maana ya simu kuitwa Note.Kwahiyo napenda nikujulishe vitu muhimu kuhusu simu hii kutoka kampuni ya Lenovo ili usijepitwa na vitu vizuri.
       Kwanza kama nilivyokwambia simu hii ni mpya kwani itazinduliwa mwezi huu,
Kiumbile simu hii ina kioo chenye ukubwa wa inchi 5.5 na inauwezo wa kusapoti internet kwenye mitandao ya 3g,2g na 4g,huku ikiwa inatumia sim card moja yaani laini moja.
        Simu hii imetoka katika rangi tatu yaani kuna za silva,gold na grey huku zikiwa na kava la Aluminium.Ukubwa wa nafasi ya kuhifadhi vitu mbali mbali kwenye simu hii yaani storage ni 32Gb huku ikiwa na sehemu ya kuweka memory card yoyote mpaka yenye ukubwa wa 2556Gb.
        Kama nilivyokwambia kuwa simu hii ni mpya hivyo mfumo wake wa kufanya kazi yaani operating ysstem au [OS] kwa kifupi ni wa kisasa kabisa ambao ni android 6.0 Marshmallow.Kizuri zaidi ni kwamba simu hii ina RAM ya 3GB,na hivyo kukupa uwezo wa kuitumia simu yako kwa kufungua programu nyingi kwa wakati mmoja na utaziyumia bila simu kukusumbua au kukwama kwama.
               Hayo ni baadhi ya mabo muhimu kuhusu simu hii,kwa mengi zaidi angalia hapa chini.

General Information


2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G Network HSDPA 850 / 900 / 1900 / 2100
4G Network LTE
SIM Dual micro SIM
Status Available September 2016

Body

Dimensions
Keyboard Touchscreen
Colors Silver, Gold, Grey
Cover Aluminum

Display

Type IPS capacitive touchscreen with 16,000,000 colors
Size 5.5 inches, 1080 x 1920 pixels, 401 pixels per inch

Memory And OS

Card slot MicroSD, up to 256GB
Internal 32GB
OS Android 6.0 Marshmallow
Processors 1.5GHz quad-core Cortex-A53 CPU, Qualcomm Snapdragon 430 chipset, Adreno 505 GPU
RAM 3GB

Audio

Alert types Vibration, MP3 ringtones
Loudspeaker Yes
Audio port 3.5mm jack

Connectivity

2G GPRS – up to 85.6 kbps; EDGE – up to 236.8 kbps
3G Up to 42.2 mbps downlink; Up to 5.76 mbps uplink
4G Up to 150 mbps downlink; Up to 50 mbps uplink
WIFI Wi-Fi 802.11 b/g/n, Wi-Fi hotspot
Bluetooth Version 4.1
GPS A-GPS
NFC No
USB MicroUSB v2.0

Camera

Primary 16MP, up to 5312 x 2988-pixel pictures, Geo-tagging, HDR, auto focus camera with LED flash
Video 1080p@30fps
Secondary 8MP, up to 3264 x 2448-pixel pictures

Battery

Capacity 4000mAh Li-Ion battery
Stand-by
Talk time
Music play

Other Features

Sensors Accelerometer, Proximity, Compass, Fingerprint
Messaging SMS, MMS, Email, Push Mail, IM
Browser HTML
Java No
Miscellaneous – SNS integration
– FM radio
– MP4/MPEG4/H.263/H.264 player
MP3/WAV/eAAC+/AC3/FLAC player
– Document viewer
– Image viewer/editor
– Preloaded applications – Gmail, YouTube, UC browser, Baidu search, Kingsoft office, etc.

Price

Price level About 159 USD

Muonekano wa simu mpya ya Samsung Galaxy A8 (2016) umevuja,huu hapa!

Muonekano wa simu mpya ya Samsung Galaxy A8 (2016) umevuja,huu hapa!


Kampuni ya Samsung inategemea kuzindua simu yake mpya ya Samsung Galaxy A8 miezi michache ijayo.Lakini  kama ujuavyo wachunguzi nao hawajalala na hivyo wameweza kuupata muonekano wa simu hiyo ambayo bado haijazinduliwa rasmi.
     Labda jambo muhimu kutoka kwenye muonekano wa simu hiyo ambalo watu wameweza kuligundua ni kwamba simu hiyo itakosa kile kijiti cha kuandikia au kubonyezea kwenye kioo cha simu kama zilivyo simu nyingi za Samsung.
     Hapa chini nimekuwekea pia baadhi ya picha za simu hiyo!! Ni hayo tu kwasasa!!




Ijue simu mpya ya Huawei G9 Plus

Ijue simu mpya ya Huawei G9 Plus
Huawei G9 Plus

Hi!! Teknolojia inazidi kukua na makampuni ya simu nayo yanazidi kuonyesha ushindani kila siku kwa kutengeneza simu mpya zikiwa na maboresho kadhaa ya matoleo ya simu zilizopita.Leo napenda nikujulishe mambo muhimu kuhusu simu aina ya Huawei G9 Plus ambayo imetengenezwa na kampuni ya Huawei.Napenda nikujulishe mambo muhimu kutoka kwenye simu hii ili kama utaona inakufaa basi unaweza kuitafuta madukani.Simu hii naweza kusema ni bado mpya kwani imezinduliwa rasmi mwezi wa nane mwaka 2016.
           Simu hii ina uwezo wa kusapoti internet kwa mitandao ya 2g,3g na 4g pia.Simu hii imetolewa katika rangi tatu yaani kuna za rangi nyeusi,nyeupe na Gold.Ina ukubwa wa inchi 5.5 huku ikiwa na uzito wa gram 160.
        Pia simu hii ina storage yaani uwezo wake wa kuhifadhi data au mafaili mbali mbali wa Gb 32 na Gb 64.Hii ikiwa na maana kwamba katika simu hiyo hiyo kuna ambazo zina ukubwa huo tofauti wa nafasi.Simu hii ina Ram ya Gb 3 na Gb 4,hii ikiwa na maana pia kuwa simu hiyo hiyo wameitengeneza baadhi zina Ram ya 3 na nyingine 4.
    Hayo ni baadhi tu kuhusu simu hii,Mengi zaidi tazama hapa chini



2G NetworkGSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G Network HSDPA 850 / 900 / 1900 / 2100
4G Network LTE
SIM Dual nano SIM
Status Available August 2016


Body

Dimensions 151.8 x 75.7 x 7.3 mm, 160 grams (5.98 x 2.98 x 0.29 inches, 5.64 ounce)
Keyboard Touchscreen
Colors White, Black, Gold
Cover Plastic 

Display

Type IPS capacitive, multi-touch touchscreen with 16,000,000 colors
Size 5.5 inches, 1080 x 1920 pixels, 401 pixels per inch (PPI)

Memory And OS

Card slot MicroSD, up to 128GB
Internal 32GB and 64GB models
OS Android 6.0 Marshmallow, Emotion UI 4.1
Processors 2.0GHz octa-core Cortex-A53 CPU, Qualcomm MSM8953 Snapdragon 625 chipset, Adreno 506 GPU
RAM 3GB and 4GB models

Audio

Alert types Vibration, MP3 ringtones
Loudspeaker Yes
Audio port 3.5mm jack

Connectivity

2G GPRS – up to 32 to 48 kbps; EDGE – up to 236.8 kbps
3G Up to 42 mbps downink; Up to 5.76 mbps uplink
4G Up to 150 mbps downink; Up to 50 mbps uplink
WIFI Wi-Fi 802.11 b/g/n, Wi-Fi hotspot, DLNA, Wi-Fi Direct
Bluetooth Version 4.1, A2DP, LE
GPS A-GPS, GLONASS
NFC To be confirmed
USB MicroUSB v2.0

Camera

Primary 16MP, up to 5312 x 2988-pixel pictures, face and smile detection, phase detection, autofocus, HDR, Geo-tagging camera with LED flash
Video 1080p@30fps
Secondary 8MP, up to 3264 x 2448-pixel pictures

Battery

Capacity 3340mAh Li-Po battery
Stand-by
Talk time
Music play

Other Features

Sensors Accelerometer, Proximity, Compass, Fingerprint
Messaging SMS, MMS, Email, Push Mail, IM
Browser HTML5
Java No
Miscellaneous – Active noise cancellation with dedicated mic
– MP3/WAV/eAAC+/WMA player
– MP4/H.264/H.263/WMV player
– Document viewer/editor

Price

Price level About 370 USD

Tuesday, September 13, 2016

NAMNA YA KUSOMA MSG WHATSAP BILA ALIYEKUTUMIA KUJUA

NAMNA YA KUSOMA MSG WHATSAP BILA ALIYEKUTUMIA KUJUA
Image result for .parallel-spacemulti-accounts
Kama ujuavyo Whatsap imafanyiwa maandeleo kiasi kwamba mtu anapokutumia msg na ukaisoma kuna alama za tiki ambazo huwa zinaonyesha kama msg hiyo umeisoma au hujaisoma.Hapa chini nakuonyesha namna ya kuweza kuepusha mtu kugundua kuwa msg yake umeisoma.Ina maana kuwa utaweza kuisoma msg hiyo bila alama za tiki kubadilika na kukuonyesha kuwa umeisoma.Zifuatazo ni njia unazoweza kuzitumia.

1. ZUIA Read Receipts Option

Kuweza kufanya hivyo
1.fungua programu yako ya Whatsap kisha nenda kwenye setting

2.kisha chagua accounts kisha nenda kwenye privacy.

3.Ondoa tiki kwenye "read receipts" kama inavyoonyesha hapa chini



2.Njia ya pili unayoweza kutumia ni kuzima data au wifi mara tu unapokuwa umepokea msg ya whatsap na kuisoma bila kuweka on data yako au wifi.

3.Njia ya tatu ni kuweka whatsap widget kwenye screen ya simu yako.hii itakusaidia kusoma msg mara tu zinapokuwa zimekuja kwenye simu yako bila kufungua program yako ya whatsap hii itazuia alama za tik mbili kujitokeza pindi tu usomapo hiyo msg.

Ni hayo tu,tumia mojawapo hapo na kama unahitaj msaada basi niandikie kwenye comment hapa chini ntakusaidia